Katika visa vya Mitume kuna mazingatio makubwa."
Katika visa vya Mitumekuna mazingatio makubwa kwetu sisi wote.
Ndani yake kuna ukumbusho wa kuzingatia na mafundisho kwa yaliyo tokea kwa wale walio tangulia.
Qur’an siyo kitabu cha mazungumzo tu, bali ni kitabu cha ukweli, muongozo na rehma.
MAZINGATIO:
Ni muhimu kuwa na mazingatio katika visa vya wale walio tutangulia
18
10