Tazama video kuhusu mada mbalimbali kutoka kwa Quran
Vitabu vyote katika maudhui mbalimbali na mahojiano
"Sikiliza sauti kuhusu mada mbalimbali kutoka kwa Quran Tukufu
Chunguza albam
Pakua progamu za kiisilamu katika google ply web store na huwaway
Tazama vipande vyote vya video katika maudhui mbalimbali
Je! Mlidhani ya kwamba tulikuumbeni bure na ya kwamba nyinyi kwetu hamtarudishwa? Ametukuka Allah, Mfalme wa Haki, hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A’rshi Tukufu
Na sikuwaumba majini na wanadamu ila kwa ajili ya kuniabudu Na sihitaji toka kwao rizki na wala sihitaji kunilisha
Je, mwanadamu anadhani kuwa ataachwa bure tu?Kwani yeye hakuwa tone la manii lililotonwa?Kisha akawa pande la damu, (Allaah) Akamuumba na Akamsawazisha?
Na ufalme wa Mbingu na Ardhi ni wa Allah, na Allah ni muweza wa kila kitu Hakika katika kuumba Mbingu na Ardhi na mabadiliko ya usiku na mchana ni dalili tosha kwa wenye akili
Tutawaonyesha Ishara zetu katika upeo wa mbali na katika nafsi zao wenyewe mpaka iwabainikie kwamba haya ni kweli. Je! Haikutoshi kwamba Mola wako Mlezi kuwa Yeye ni Shahidi wa kila kitu?
Ambaye ameumba mbingu saba zilizo tabaka tabaka. Huoni tofauti yoyote katika uumbaji wa Rahmani (Allah Mwingi wa rehema). Basi rudisha macho (uangalie uumbaji wa Allah); Je, unaona kasoro yoyote?
Ujumbe wa Mwenyezi Mungu kwa moyo wako: Safari ya...
Maana ya Uwepo katika Nuru ya Qurani
Uhuru katika Qur'ani Kwa Waislamu na Wasioku...
Barzakh Mwanzo wa Ufahamu wa Kweli
Thamani za Qur’ani Zinazong’aza Njia
Unatafuta mwanga – Mwito wa kutafakari juu ya Qur'...
Tazama kadi
Na ufalme wa Mbingu na Ardhi ni wa Allah, na Allah ni muweza wa kila kituHakika katika kuumba Mbingu na Ardhi na mabadiliko ya usiku na mchana ni dalili tosha kwa wenye akili
Na sikuwaumba majini na wanadamu ila kwa ajili ya kuniabuduNa sihitaji toka kwao rizki na wala sihitaji kunilisha
Wale walioamini na zikatua nyoyo zao kwa kumkumbuka Allah. Hakika kwa kumkumbuka Allah ndio nyoyo hutulia
Na wale wanao jiepusha na ibada potovu, na wakarejea kwa Allah, watapata bishara njema. Basi wabashirie waja wanguAmbao husikiliza maneno, wakafuata lilio bora. Hao ndio alio waongoa Allah, na hao ndio wenye akili
Na humruzuku kwa njia asiyo tazamia. Na anaye mtegemea Allah Yeye humtosha. Hakika Allah anatimiza amri yake. Hakika Allah Amejaalia kwa kila kitu na makadirio yake
Je, mwanadamu anadhani kuwa ataachwa bure tu?Kwani yeye hakuwa tone la manii lililotonwa?Kwani yeye hakuwa tone la manii lililotonwa?
Lebo na maudhui zote za tovuti