Na wanao wasingizia wanawake mahashumu (wema),"
Na wanao wasingizia wanawake mahashumu (wema), kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovuIsipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani bila ya shaka Allah ni Msamehevu, Mwenye kurehemuNa wale wanao wasingizia wake zao na hawana mashahidi ila nafsi...
0