Hakuna kulazimisha katika Dini, kwa sababu
Hakuna
kulazimisha katika Dini, kwa sababu imani ni jambo huru kwa mwenye
kubainikiwa na uwongofu kutokana na upotofu.Mwenye kuchagua imani ya
kumuamini Allah, bila ya shaka ameshika Kamba Madhubuti isiyo
katika.MAZINGATIO:Uhuru wa kuamini, ndiyo msingi wa kumuamini Allah
bila kulazimishwaKufuata Dini ni hiyari ya moyo.
18
14