“Naye yupo pamoja nanyi popote mlipo
Tazama kadi
Mwanaadam ni kiumbe wa thamani ambaye haitakiwi kudharauliwa kwa utu wake, au rangi yake au mji wake. Thamani yake ni kubwa kuliko kitu chochote kinachoundwa
Umaarufu,kupiga kelele za makofi, na mashindano mbali mbali, vyote hivyo huwa ni vivutio vya kuteka nyoyo za watu kwa haraka, lakini havidumu daima.
“Je! Mlidhani ya kwambatulikuumbeni bure tu
Watu hutafuta furaha katika ushindi. Lakini baadhi ya nyoyo hubakia katika hali ya wasiwasi hata baada ya kushinda, kwa sababu utulivu siyo kombe lenye kubebwa, bali ni amani inayo patikana moyoni.
Watu wengi wanamuheshimu mchezaji anayepambana bila kujisalimisha kirahisi rahisi. Na Qur’an pia inamfundisha mwanaadam namna ya kusubiri katika changamoto mbalimbali na kuendelea na njia ya mafanikio bila kukata tamaa!
“Na pia katika nafsi zenu, je hamwoni?