“Na maisha ya dunia si kitu il ani starehe ya udanganyifu
Tazama kadi
“Na mwanadam ameumbwa dhaifu
Kila mashindano duniani yana lengo maalumu. Je,inawezekanaje kiakili iwe maisha ya mwanaadam pekee hapa duniani yawe bila maana (lengo)?
Watu hutafuta furaha katika ushindi. Lakini baadhi ya nyoyo hubakia katika hali ya wasiwasi hata baada ya kushinda, kwa sababu utulivu siyo kombe lenye kubebwa, bali ni amani inayo patikana moyoni.
Mashindano yoyote yana upeo na ukomo wake. Na uhai pia upo hivyo hivyo, hakuna kisicho kuwa na mwisho.
“Na pia katika nafsi zenu, je hamwoni?
Qur’an haimzingatii mwanaadam kwa namba tu ya kuhesabika katika huu ulimwengu, bali inamzingatia kuwa ni kiumbe mwenye lengo maalumu la kuumbwa kwake na mwenye ujumbe maalumu