Akasema: Ondokeni humu nyote, hali ya kuwa ni maadui nyinyi kwa nyinyi."
Akasema: Ondokeni humu nyote, hali ya kuwa ni maadui nyinyi kwa nyinyi. Na ukikufikieni uongofu kutoka kwangu basi atakaye ufuata uongofu wangu, hatapotea wala hatataabikaNa atakae jiepusha na mawaidha yangu, basi kwa yakini atapata maisha yenye dhiki, na Siku ya Kiyama tutamfufua hali ya kuwa ni kipofuAseme: Ewe Mola wangu Mlezi! Mbona umenifufua...
19
11