Tazama kadi zote zilizoangaliwa zaidi kwenye Noor Gallery. ..
Tazama uteuzi wa kadi za kila siku
Siyokujitoamuhanga! Bali nibiasharanjemana Allah. Kilatabu, kilaunachojitolea, ujuekuwakimehifadhiwambeleya Allah asiyevunjaahadiyake.MAZINGATIO: Kuwanayakinina Allah ninuruya Qur’an.
Tafakari!Hakika Allah amenunuakwakonafsiyakonamaliyako, nakukulipaPepo.Hiinibahatikubwaambayohuwezikupatahasarakamwe Ikiwautakuwamkwelikatikamatendoyako.MAZINGATIO:Jihadi yanafsinifungulenyemafanikionanuruya Qur’an.
Lakini! Tafakari, ujuekuwahatuayoyotenjemaunayoichukuakumuelekea Allah utakutainakabiliwanauongofumkubwa.Basi, pambanananafsiyako, na Allah atakufungulianjiazamafanikiousizozitarajia.MAZINGATIO: Uongofuninuruya Qur’an.
Kitukibayazaidi, nikumzushiauongo Allah, au kuikataahakibaadayakuijua.Hiisidhambituinayoendelea, balininjiayenyegizambaya, namwisho wake simzuriunafahamikawaziwazi.MAZINGATIO:Hakininuruya Qur’an.
Tulia! Kwani mamboyoteambayoyanayokupaugumusasahivi, yenyewepiayapokatikauendeshwajiwa Allah.MAZINGATIO: Utulivuwanafsininuruya Qur’an.
Rahakubwakatikamaishahayayadunianinikujuakuwa Allah pekeyakendieanayekiendeshakilakitu. Tambuakuwa:siyokilakinachotokeakipodhidiyako, balibaadhiyakenimuongozowakokatikakheri.MAZINGATIO:Kumtegemea Allah ninuruya Qur’an.
Lau watuwangejuaupanawarehemaya Allah, basiwangeliasanakwakuwanamatumaininasikuwanahofu.MAZINGATIO:Matumainiyakupatamsamahaninuruya Qur’an.
Tutambuekuwasisihatushindwikwasababuniwanyonge.Balinikwasababuhatusimamiipasavyokatikadua(maombi).Tambuakuwakilaunapoinuamikonoyakokuombadua, basihaupompweke, baliupona Allahdaima.MAZINGATIO:Matumainimemaninuruya Qur’an.
Ahadi njema iliyopo katika maisha yako ni kuona kuwa Allah Mtukufu amesema:“Niombeni” katika hali ambayo hakuna kizuwizi wala mlango ulio fungwa kati yako na kati yake, bali anakupa ahadi njema ya kukupa mafanikio.MAZINGATIO:Dua (maombi) ni nuru ya Qur’an.
Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na (hawataki) kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike Allah aliyekufanyieni usiku ili mpate kutulia humo, na mchana wa kuonea. Hakika Allah bila ya shaka ni Mwenye fadhila juu ya watu, lakini watu wengi hawashukuru [Corán 40:60-61]
Na (makafiri) wakitaka kukuhadaa (kwenye suluhu na amani) basi Allah anakutosha (dhidi ya hila na khiyana zao). Yeye (Allah) ndiye aliyekupa nguvu kwa nusra yake na kwa waumini Na ameziunganisha nyoyo zao[1]. Lau kama ungetoa vyote vilivyomo duniani usingeweza kuziunganisha nyoyo zao, lakini Allah ndiye aliyewaunganisha[2]. Hakika, Yeye...
Utengano huleta udhaifu na majanga.Na umoja wa kweli huziunganisha nyoyo na kueneza huruma kwa watu.Basi, shikamaneni kwa yale yanayo leta umoja wenu, kwani hii ni neema kubwa isiyopimwa kwa chochote.MAZINGATIO:Umoja na kusuluhisha ni nuru ya Qur’an