Je inawezekana vitu vyote hivi vinavyo onekana hapa duniani vipo tu bila ya lengo lolote?
Hili ni swali jepesi, lakini linalo tikisa kila fikra pevu inayo zingatia uhalisia wa mambo.
MAZINGATIO:Kutafakari ni chanzo cha kujua mantiki ya kuwepo duniani.
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi