Hakika, wamepata hasara wale waliopinga kukutana na Allah, ."
Hakika, wamepata hasara wale waliopinga kukutana na Allah, hadi kitakapowajia Kiyama ghafla watasema: Eee! Majuto ni yetu kwa (sababu ya) yale tuliyoyafanyia uzembe humo (duniani), na huku wanabeba mizigo (makosa) yao migongoni mwao. Elewa kwamba, ni mabaya mno hayo (madhambi) wanayoyabebaNa maisha ya duniani si chochote isipokuwa tu ni mchezo na p...
115
64