Ukweli ni njia ya wokovu"

Ukweli ni njia ya wokovu"

Ukweli ni njia ya wokovu"

55 24

Ukweli ni njia ya wokovu

Tunatakiwa kushikamana na wakweli, kwani ndiyo salama ya nyoyo zetu na ukweli wa maneno: “ Mcheni Allah, na kuweni pamoja na wakweli” ili muishi maisha yaliyo jaa baraka na uongofu.

 

Tunachojifunza:

Umuhimu wa Ukweli, toba na imani

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki