Na (kumbukeni) Tulipochukua ahadi kwa Wana wa Israeli kwamba, "

Na (kumbukeni) Tulipochukua ahadi kwa Wana wa Israeli kwamba, "

Na (kumbukeni) Tulipochukua ahadi kwa Wana wa Israeli kwamba, "

120 5

Na (kumbukeni) Tulipochukua ahadi kwa Wana wa Israeli kwamba, hamtamuabudu yeyote Ila Allah tu, na mtawatendea wema wazazi, na ndugu na yatima na maskini, na mseme na watu kwa maneno mazuri. Na simamisheni Swala na toeni Zaka, kisha mkakengeuka isipokuwa wachache tu kati yenu, na ilhali nyinyi mnapuuza

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki