​Na wajizuilie na machafu wale wasiopata cha kuolea, mpaka Allah."

​Na wajizuilie na machafu wale wasiopata cha kuolea, mpaka Allah."

​Na wajizuilie na machafu wale wasiopata cha kuolea, mpaka Allah."

126 5

Na wajizuilie na machafu wale wasiopata cha kuolea, mpaka Allah awatajirishe kwa fadhila yake. Na wanao taka kuandikiwa uhuru katika wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki, basi waandikieni kama mkiona wema kwao. Na wapeni katika mali ya Allah aliyo kupeni. Wala msiwashurutishe vijakazi wenu kufanya zina kwa ajili ya kutafuta pato la maisha ya dunia, ilhali wao wanataka kujiheshimu. Na atakaye walazimisha basi Allah baada ya kulazimishwa kwao huko, atawasamehe, kwani Allah ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki