Na (makafiri) wakitaka kukuhadaa (kwenye suluhu na amani)

Na (makafiri) wakitaka kukuhadaa (kwenye suluhu na amani)

Na (makafiri) wakitaka kukuhadaa (kwenye suluhu na amani)

14 7

 Na (makafiri) wakitaka kukuhadaa (kwenye suluhu na amani) basi Allah anakutosha (dhidi ya hila na khiyana zao). Yeye (Allah) ndiye aliyekupa nguvu kwa nusra yake na kwa waumini  Na ameziunganisha nyoyo zao[1]. Lau kama ungetoa vyote vilivyomo duniani usingeweza kuziunganisha nyoyo zao, lakini Allah ndiye aliyewaunganisha[2]. Hakika, Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima

Al-Anfaal (62:63)

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki