“Kisha kwa Mola wenu Mlezi mtarejeshwa
Tazama kadi
Qur’an haimzingatii mwanaadam kwa namba tu ya kuhesabika katika huu ulimwengu, bali inamzingatia kuwa ni kiumbe mwenye lengo maalumu la kuumbwa kwake na mwenye ujumbe maalumu
Hata katika nyakati ngumu, fahamu daima kuwa hupatikana uwanda wa faraja wenye nuru. Na huu ndio ujumbe tunaokumbushwa na Qur’an tukufu
Umaarufu,kupiga kelele za makofi, na mashindano mbali mbali, vyote hivyo huwa ni vivutio vya kuteka nyoyo za watu kwa haraka, lakini havidumu daima.
Katika kombe la dunia, kuna tofauti ya rangi, lugha na nchi, lakini wote hao wanabaki katika ubinaadam wao. Basi, tambua kuwa Qur’an inatukumbusha kulinda heshima ya kila mtu.
“Naye yupo pamoja nanyi popote mlipo
Mwanaadam ni kiumbe wa thamani ambaye haitakiwi kudharauliwa kwa utu wake, au rangi yake au mji wake. Thamani yake ni kubwa kuliko kitu chochote kinachoundwa