“Kisha kwa Mola wenu Mlezi mtarejeshwa
Tazama kadi
Katika kipindi cha upweke au hofu, Qur’an inazungumza jinsi Allah alivyo karibu na mwanaadam, hivyo asikate tamaa na rehema zake!
Nyuma ya nguvu tunazoziona kwenye michezo mbali mbali, kuna mwanadam anaye choka na kuwa na hofu na kudhoofika. Na Qur’an inamzungumzia mwanadam katika hali ukweli na huruma kuhusu maumbile yake.
Mwanaadam ni kiumbe wa thamani ambaye haitakiwi kudharauliwa kwa utu wake, au rangi yake au mji wake. Thamani yake ni kubwa kuliko kitu chochote kinachoundwa
“Hakika pamoja na uzito upo wepesi
Katika kila mashindano huwa kuna hofu inayo jitokeza kabla ya mwisho. Na katika maisha, hali hiyo pia ipo. Moyo huwa na kawaida ya kutafuta kitu kitakacho upa amani ya kweli daima
Mashindano yoyote yana upeo na ukomo wake. Na uhai pia upo hivyo hivyo, hakuna kisicho kuwa na mwisho.