“Je! Mlidhani ya kwambatulikuumbeni bure tu
Tazama kadi
Qur’an haimzingatii mwanaadam kwa namba tu ya kuhesabika katika huu ulimwengu, bali inamzingatia kuwa ni kiumbe mwenye lengo maalumu la kuumbwa kwake na mwenye ujumbe maalumu
Uislamu haukutaki kutokuwa na udhaifu, bali unakutaka kujua ni nani wa kumtegemea unapo dhoofika
Umaarufu,kupiga kelele za makofi, na mashindano mbali mbali, vyote hivyo huwa ni vivutio vya kuteka nyoyo za watu kwa haraka, lakini havidumu daima.
“Hakika kwa kumkumbuka Allah ndio nyoyo hutua!”.
Nyuma ya nguvu tunazoziona kwenye michezo mbali mbali, kuna mwanadam anaye choka na kuwa na hofu na kudhoofika. Na Qur’an inamzungumzia mwanadam katika hali ukweli na huruma kuhusu maumbile yake.
“Na mwanadam ameumbwa dhaifu