“Hakika pamoja na uzito upo wepesi
Tazama kadi
Katika kombe la dunia, kuna tofauti ya rangi, lugha na nchi, lakini wote hao wanabaki katika ubinaadam wao. Basi, tambua kuwa Qur’an inatukumbusha kulinda heshima ya kila mtu.
Katika kipindi cha upweke au hofu, Qur’an inazungumza jinsi Allah alivyo karibu na mwanaadam, hivyo asikate tamaa na rehema zake!
“Na hakika tumewatukuza wanaadam
“Na maisha ya dunia si kitu il ani starehe ya udanganyifu
Mchezaji wakati mwingine anashindwa kwenye mashindano, kisha anarudi tena kwa nguvu kubwa. Hivyo hivyo, hata mwanadam anaweza kuanza upya katika harakati zake za maisha anapokutana na changamoto yoyote. Tambua kuwa Qur’an haijaufunga mlango wa matumaini, hivyo usikate tamaa!
Uislamu haukutaki kutokuwa na udhaifu, bali unakutaka kujua ni nani wa kumtegemea unapo dhoofika