Ee ole wangu! Laiti nisingeli mfanya fulani kuwa rafiki!
Amenipoteza, nikaacha Ukumbusho, baada ya kwisha nijia, na kweli Shet’ani ni khaini kwa mwanaadamu
Na Mtume alikuwa akisema: Ee Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wameifanya hii Qur’ani ni yenye kuhamwa
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi