Waumini ni ndugu!Na mapenzi hayajengwi kwa magomvi.Inapotokea sintofahamu baina yenu, basi fanyeni kila linalo wezekana kusuluhisha kwa uadilifu, kwani Allah anawapenda wanaofanya uadilifu baina ya watu.MAZINGATIO:Tabia njema na kusuluhisha baina ya watu ni nuru ya Qur’an.
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi