​Maisha mema hayaji kutokana na mali au cheo,"

​Maisha mema hayaji kutokana na mali au cheo,"

​Maisha mema hayaji kutokana na mali au cheo,"

18 12

Maisha mema hayaji kutokana na mali au cheo, bali kwa imani na matendo mema.

Kila tendo jema, dogo au kubwa unalo lifanya ujue huandikwa kwa Allah kwa kupata malipo makubwa.

 

MAZINGATIO:

Ni wajibu wetu kutenda mema ili kupata maisha mazuri

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki