Zingatia jinsi jambo la amana lilivyo kuwa ni kubwa, ambapo mbingu, arhi na milima viliogopa kuibeba na kuichukua.
Lakini Mwanaadam akakubali kuichukua, na bila kujali akawa ni mwenye kujidhulumu mwenyewe na mjinga wa kutozingatia matokeo mabaya ya kutoichunga amana aliyo kubali kuibeba.
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi