Mashindano yoyote yana upeo na ukomo wake.
Na uhai pia upo hivyo hivyo, hakuna kisicho kuwa na mwisho.
Tazama kadi
“Hakika Allah yu pamoja na wanao subiri
Hata katika nyakati ngumu, fahamu daima kuwa hupatikana uwanda wa faraja wenye nuru. Na huu ndio ujumbe tunaokumbushwa na Qur’an tukufu
Watu wengi wanamuheshimu mchezaji anayepambana bila kujisalimisha kirahisi rahisi. Na Qur’an pia inamfundisha mwanaadam namna ya kusubiri katika changamoto mbalimbali na kuendelea na njia ya mafanikio bila kukata tamaa!
Mchezaji wakati mwingine anashindwa kwenye mashindano, kisha anarudi tena kwa nguvu kubwa. Hivyo hivyo, hata mwanadam anaweza kuanza upya katika harakati zake za maisha anapokutana na changamoto yoyote. Tambua kuwa Qur’an haijaufunga mlango wa matumaini, hivyo usikate tamaa!
Katika kila mashindano huwa kuna hofu inayo jitokeza kabla ya mwisho. Na katika maisha, hali hiyo pia ipo. Moyo huwa na kawaida ya kutafuta kitu kitakacho upa amani ya kweli daima
Ulimwengu unawafauatilia wachezaji katika kombe la dunia. Lakini Qur’an inakutaka ujiangalie wewe mwenyewe kwanza.