Mashindano yoyote yana upeo na ukomo wake.
Na uhai pia upo hivyo hivyo, hakuna kisicho kuwa na mwisho.
Tazama kadi
Baada ya kuisha mashindano na makelele, mwanaadam hubaki peke yake pamoja na moyo wake tu(kifo), na wakati huo maswali kuhusu ukweli wa maisha yake aliyo yaishi dunini huanza
“Hakika kwa kumkumbuka Allah ndio nyoyo hutua!”.
Qur’an haimzingatii mwanaadam kwa namba tu ya kuhesabika katika huu ulimwengu, bali inamzingatia kuwa ni kiumbe mwenye lengo maalumu la kuumbwa kwake na mwenye ujumbe maalumu
Mamilioni ya watu hushuhudia mashindano mbali mbali kutokea maeneo tofauti tofauti ya dunia. Lakini mwanaadam anabakia kuwa na haja ya kupata anayemsikia na kumfahamu kweli katika mihangaiko yake.
“Je! Mlidhani ya kwambatulikuumbeni bure tu
“Kisha kwa Mola wenu Mlezi mtarejeshwa