Mashindano yoyote yana upeo na ukomo wake.
Na uhai pia upo hivyo hivyo, hakuna kisicho kuwa na mwisho.
Tazama kadi
“Na mwanadam ameumbwa dhaifu
Watu hutafuta furaha katika ushindi. Lakini baadhi ya nyoyo hubakia katika hali ya wasiwasi hata baada ya kushinda, kwa sababu utulivu siyo kombe lenye kubebwa, bali ni amani inayo patikana moyoni.
“Hakika kwa kumkumbuka Allah ndio nyoyo hutua!”.
Qur’an inamkumbusha mwanaadam kitu ambacho hukisahu sana anapojishughulisha: kwamba safari ni fupi, na maana halisi ya uhai ni muhimu kuizingatia kuliko kujishughulisha na mihangaiko yenye kumalizika ghafla
“Je! Mlidhani ya kwambatulikuumbeni bure tu
Mwanaadam ni kiumbe wa thamani ambaye haitakiwi kudharauliwa kwa utu wake, au rangi yake au mji wake. Thamani yake ni kubwa kuliko kitu chochote kinachoundwa