“Hakika kwa kumkumbuka Allah ndio nyoyo hutua!”.
Tazama kadi
Qur’an inamkumbusha mwanaadam kitu ambacho hukisahu sana anapojishughulisha: kwamba safari ni fupi, na maana halisi ya uhai ni muhimu kuizingatia kuliko kujishughulisha na mihangaiko yenye kumalizika ghafla
Baada ya kuisha mashindano na makelele, mwanaadam hubaki peke yake pamoja na moyo wake tu(kifo), na wakati huo maswali kuhusu ukweli wa maisha yake aliyo yaishi dunini huanza
Uislamu haukutaki kutokuwa na udhaifu, bali unakutaka kujua ni nani wa kumtegemea unapo dhoofika
Nyuma ya nguvu tunazoziona kwenye michezo mbali mbali, kuna mwanadam anaye choka na kuwa na hofu na kudhoofika. Na Qur’an inamzungumzia mwanadam katika hali ukweli na huruma kuhusu maumbile yake.
“Na hakika tumewatukuza wanaadam
Hata katika nyakati ngumu, fahamu daima kuwa hupatikana uwanda wa faraja wenye nuru. Na huu ndio ujumbe tunaokumbushwa na Qur’an tukufu