“Hakika pamoja na uzito upo wepesi
Tazama kadi
Mamilioni ya watu hushuhudia mashindano mbali mbali kutokea maeneo tofauti tofauti ya dunia. Lakini mwanaadam anabakia kuwa na haja ya kupata anayemsikia na kumfahamu kweli katika mihangaiko yake.
Hata katika nyakati ngumu, fahamu daima kuwa hupatikana uwanda wa faraja wenye nuru. Na huu ndio ujumbe tunaokumbushwa na Qur’an tukufu
Baada ya kuisha mashindano na makelele, mwanaadam hubaki peke yake pamoja na moyo wake tu(kifo), na wakati huo maswali kuhusu ukweli wa maisha yake aliyo yaishi dunini huanza
“Na mwanadam ameumbwa dhaifu
“Na hakika tumewatukuza wanaadam
“Na maisha ya dunia si kitu il ani starehe ya udanganyifu