“Hakika pamoja na uzito upo wepesi
Tazama kadi
“Na mwanadam ameumbwa dhaifu
Mamilioni ya watu hushuhudia mashindano mbali mbali kutokea maeneo tofauti tofauti ya dunia. Lakini mwanaadam anabakia kuwa na haja ya kupata anayemsikia na kumfahamu kweli katika mihangaiko yake.
“Na pia katika nafsi zenu, je hamwoni?
Uislamu haukutaki kutokuwa na udhaifu, bali unakutaka kujua ni nani wa kumtegemea unapo dhoofika
“Hakika kwa kumkumbuka Allah ndio nyoyo hutua!”.
Umaarufu,kupiga kelele za makofi, na mashindano mbali mbali, vyote hivyo huwa ni vivutio vya kuteka nyoyo za watu kwa haraka, lakini havidumu daima.