“Na pia katika nafsi zenu, je hamwoni?
Tazama kadi
Baada ya kuisha mashindano na makelele, mwanaadam hubaki peke yake pamoja na moyo wake tu(kifo), na wakati huo maswali kuhusu ukweli wa maisha yake aliyo yaishi dunini huanza
Watu wengi wanamuheshimu mchezaji anayepambana bila kujisalimisha kirahisi rahisi. Na Qur’an pia inamfundisha mwanaadam namna ya kusubiri katika changamoto mbalimbali na kuendelea na njia ya mafanikio bila kukata tamaa!
Mwanaadam ni kiumbe wa thamani ambaye haitakiwi kudharauliwa kwa utu wake, au rangi yake au mji wake. Thamani yake ni kubwa kuliko kitu chochote kinachoundwa
“Hakika kwa kumkumbuka Allah ndio nyoyo hutua!”.
“Na mwanadam ameumbwa dhaifu
“Naye yupo pamoja nanyi popote mlipo