Na (makafiri) wakitaka kukuhadaa (kwenye suluhu na amani) basi Allah."

Na (makafiri) wakitaka kukuhadaa (kwenye suluhu na amani) basi Allah."

Na (makafiri) wakitaka kukuhadaa (kwenye suluhu na amani) basi Allah anakutosha (dhidi ya hila na khiyana zao). Yeye (Allah) ndiye aliyekupa nguvu kwa nusra yake na kwa waumini

Na ameziunganisha nyoyo zao[1]. Lau kama ungetoa vyote vilivyomo duniani usingeweza kuziunganisha nyoyo zao, lakini Allah ndiye aliyewaunganisha[2]. Hakika, Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima

66
Video Translations
Kupakua
  • Hd Version ( Google Drive )
Viambatanisho

Shiriki