Uhuru katika Qur'ani

Uhuru si kusema utakalo, bali ni kusema haki bila ya woga wala matamanio
Kumtii Allah si unyonge, bali ndiyo njia pekee ya kupata mafanikio makubwa

Uhuru katika Qur'ani

Kujisalimisha maisha yako kwa ajili ya Allah kwa kutii ndiyo uhalisia wa uhuru, kwa sababu wewe mwenyewe utakuwa umechagua njia ya amani.
Mwenye uhuru halisi ni yule mwenye kuutakasa moyo wake kwa ajili ya Allah, na siyo kwa ajili ya watu

Aya