Kubisha hodi kwa adabu, na kuondoka usipo ruhusiwa kuingia kwa mtu si udhaifu, bali ni usafi wa nafsi, na jamii kubakia kuishi katika misingi ya aibu na heshima.
MAZINGATIO:
Kushikamana na tabia za kiislamu ni njia ya wokovu.
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi