​Je, Huwaoni wanao fanya unaafiki na wanawaambia ndugu."

​Je, Huwaoni wanao fanya unaafiki na wanawaambia ndugu."

​Je, Huwaoni wanao fanya unaafiki na wanawaambia ndugu."

134 12

Je, Huwaoni wanao fanya unaafiki na wanawaambia ndugu zao walio kufuru katika Watu wa Kitabu: Mkitolewa na sisi lazima tutatoka pamoja nanyi, wala hatutamt’ii yeyote kabisa dhidi yenu. Na mkipigwa vita lazima tutakusaidieni. Na Mwenyezi Mungu anashuhudia kuwa hakika hao bila ya shaka ni waongo

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki