Imani haidhihiri katika swala tu, bali inadhihiri katika nyakati tunazo amiliana na watu.

Imani haidhihiri katika swala tu, bali inadhihiri katika nyakati tunazo amiliana na watu.

Imani haidhihiri katika swala tu, bali inadhihiri katika nyakati tunazo amiliana na watu.

14 8

Imani haidhihiri katika swala tu, bali inadhihiri katika nyakati tunazo amiliana na watu.Tunawajibika kuwafanyia wema wazazi, kuwahurumia wanyonge na kuwa wapole kwa kila tunaye kutana naye katika maisha yetu.MAZINGATIO:Kujipamba kwa tabia njema na kuwafanyia watu wema ni nuru ya Qur’an.

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki