​Usikiuke mipaka katika mihangaiko yako, kwani Allah."

​Usikiuke mipaka katika mihangaiko yako, kwani Allah."

​Usikiuke mipaka katika mihangaiko yako, kwani Allah."

17 10

Usikiuke mipaka katika mihangaiko yako, kwani Allah anakuona kwa kila unalo litenda.

Simama imara katika yale uliyo amrishwa, na kwa hakika utaokolewa na majanga ya duniani na Akhera.

 

MAZINGATIO:

Ni wajibu kushikamana katika toba na msimamo thabiti wa dini ili kupata salama ya majanga ya duniani na Akhera

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki