​Siku utakayowaona Waumini wa kiume na Waumini wa kike,"

​Siku utakayowaona Waumini wa kiume na Waumini wa kike,"

​Siku utakayowaona Waumini wa kiume na Waumini wa kike,"

112 15

Siku utakayowaona Waumini wa kiume na Waumini wa kike, nuru zao zinakimbilia mbele yao na kuliani kwao; (wataambiwa): Bishara njema kwenu leo! Ya pepo zipitazo chini yake mito, ni wenye kukaa humo milele. Huko ndiko kufuzu kukubwa

Siku wanafiki wa kiume na wanafiki wa kike watakapowaambia wale walioamini: Tungojeeni, tupate mwangaza kutokana na nuru yenu! (Wataambiwa): Rudini nyuma yenu, na mtafute huko nuru (yenu)! Kisha utawekwa ukuta baina yao wenye mlango, ndani mna rahma na nje kwa upande wake wa mbele mna adhabu

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki