​Allah, hakuna anayestahiki kuabudiwa isipokuwa Yeye tu."

​Allah, hakuna anayestahiki kuabudiwa isipokuwa Yeye tu."

​Allah, hakuna anayestahiki kuabudiwa isipokuwa Yeye tu."

46 7

Allah, hakuna anayestahiki kuabudiwa isipokuwa Yeye tu. Yeye ndiye Mwenye uhai wa milele, Mwenye kusimamia kila kitu. Hapatwi na kusinzia wala kulala. Ni vyake yeye tu vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini. Ni nani awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao, wala hawajui kitu katika elimu yake isipokuwa atakacho tu. Kursi yake imezienea mbingu na ardhi wala hakumchoshi kuzihifadhi (mbingu, ardhi na vilivyomo), na Yeye ndiye aliye juu na ndiye aliye Mkuu

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki