​Unapokutana na upuuzi na maneno mabaya, basi kumbuka muongozo.."

​Unapokutana na upuuzi na maneno mabaya, basi kumbuka muongozo.."

​Unapokutana na upuuzi na maneno mabaya, basi kumbuka muongozo.."

46 23

Unapokutana na upuuzi na maneno mabaya, basi kumbuka muongozo kuwa Muumini wa kweli huwa anajitenga na hayo na kuchagua salama. Bali inatakiwa kuwa mzuri wa majibu kwa kusema:

“Matendo yetu ni yetu, na yenu ni yenu, na sisi Waislamu hatutaki kujibizana na wajinga”.

Tunajifunza kuwa:

Katika tabia njema ni kujiepusha na batili.

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki