“Naye yupo pamoja nanyi popote mlipo
Tazama kadi
“Hakika Allah yu pamoja na wanao subiri
Umaarufu,kupiga kelele za makofi, na mashindano mbali mbali, vyote hivyo huwa ni vivutio vya kuteka nyoyo za watu kwa haraka, lakini havidumu daima.
Baada ya kuisha mashindano na makelele, mwanaadam hubaki peke yake pamoja na moyo wake tu(kifo), na wakati huo maswali kuhusu ukweli wa maisha yake aliyo yaishi dunini huanza
“Kisha kwa Mola wenu Mlezi mtarejeshwa
“Na maisha ya dunia si kitu il ani starehe ya udanganyifu
Katika kipindi cha upweke au hofu, Qur’an inazungumza jinsi Allah alivyo karibu na mwanaadam, hivyo asikate tamaa na rehema zake!