Uislamu haukutaki kutokuwa na udhaifu, bali unakutaka kujua ni nani wa kumtegemea unapo dhoofika
Tazama kadi
“Naye yupo pamoja nanyi popote mlipo
“Hakika pamoja na uzito upo wepesi
Nyuma ya nguvu tunazoziona kwenye michezo mbali mbali, kuna mwanadam anaye choka na kuwa na hofu na kudhoofika. Na Qur’an inamzungumzia mwanadam katika hali ukweli na huruma kuhusu maumbile yake.
Watu wengi wanamuheshimu mchezaji anayepambana bila kujisalimisha kirahisi rahisi. Na Qur’an pia inamfundisha mwanaadam namna ya kusubiri katika changamoto mbalimbali na kuendelea na njia ya mafanikio bila kukata tamaa!
Baadhi ya ushindi hauji kwa haraka. Na katika maisha hli ni hivyo hivyo, subira ni sehemu ya safari ya mafanikio.
Katika kila mashindano huwa kuna hofu inayo jitokeza kabla ya mwisho. Na katika maisha, hali hiyo pia ipo. Moyo huwa na kawaida ya kutafuta kitu kitakacho upa amani ya kweli daima