Uislamu haukutaki kutokuwa na udhaifu, bali unakutaka kujua ni nani wa kumtegemea unapo dhoofika
Tazama kadi
Baadhi ya ushindi hauji kwa haraka. Na katika maisha hli ni hivyo hivyo, subira ni sehemu ya safari ya mafanikio.
“Na pia katika nafsi zenu, je hamwoni?
Katika kombe la dunia, kuna tofauti ya rangi, lugha na nchi, lakini wote hao wanabaki katika ubinaadam wao. Basi, tambua kuwa Qur’an inatukumbusha kulinda heshima ya kila mtu.
“Je! Mlidhani ya kwambatulikuumbeni bure tu
Watu hutafuta furaha katika ushindi. Lakini baadhi ya nyoyo hubakia katika hali ya wasiwasi hata baada ya kushinda, kwa sababu utulivu siyo kombe lenye kubebwa, bali ni amani inayo patikana moyoni.
Watu wengi wanamuheshimu mchezaji anayepambana bila kujisalimisha kirahisi rahisi. Na Qur’an pia inamfundisha mwanaadam namna ya kusubiri katika changamoto mbalimbali na kuendelea na njia ya mafanikio bila kukata tamaa!