Hakika, Allah amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwamba."
Hakika, Allah amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwamba watapata Pepo. Wanapigana katika Njia ya Allah; wanaua na wanauawa. Ni ahadi ya haki juu ya hilo katika Taurati na Injili na Qur’ani. Na ni nani atimizae ahadi zaidi kuliko Allah? Basi furahieni biashara yenu mliyofanya naye. Na huko ndiko hasa kufaulu kukubwa
311
Video zenye uhusiano
Tazama video nyingine kuhusu mada hiyo hiyo