​Na wanao wasingizia wanawake mahashumu (wema),"

​Na wanao wasingizia wanawake mahashumu (wema),"

​Na wanao wasingizia wanawake mahashumu (wema),"

109 12

Na wanao wasingizia wanawake mahashumu (wema), kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu

Isipo kuwa wale walio tubu baada ya hayo na wakatengenea; kwani bila ya shaka Allah ni Msamehevu, Mwenye kurehemu

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki