​Katika vipindi vya misiba, haitakiwi kusema sema maneno ya upuuzi!"

​Katika vipindi vya misiba, haitakiwi kusema sema maneno ya upuuzi!"

​Katika vipindi vya misiba, haitakiwi kusema sema maneno ya upuuzi!"

36 18

Katika vipindi vya misiba, haitakiwi kusema sema maneno ya upuuzi! bali inatosha tu kuzingatia kwa Yakini na kurejea maneno mazuri kwa kusema: “Sisi ni wa Allah, na kwake Yeye tutarejea” ndani ya maneno hayo ndiyo ishara ya kujisalimisha kwa Allah na kuridhia qadar yake na kupata utulivu wa nafsi.

MAZINGATIO:

Umuhimu wa kujisalimisha na kurejea kwa Allah kwa kuridhia qadar yake katika vipindi vya misiba

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki