Allah anao uwezo wa kuwalazimisha watu wote

Allah anao uwezo wa kuwalazimisha watu wote

Allah anao uwezo wa kuwalazimisha watu wote

19 12

Allah anao uwezo wa kuwalazimisha watu wote waliomo ardhini kuamini, lakini amempa kila mtu uhuru wa kuchagua.

 Na atawahesabu kila mmoja wao siku ya kiama

. Kwa hiyo, hakuna sheria ya kulazimisha kuingia katika Dini (japokuwa haki ipo katika umma wa Nabii Muhammad rehma na amani ziwe juu yake).

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki