Allah ameteremsha hadithi nzuri kabisa, ."

Allah ameteremsha hadithi nzuri kabisa, ."

Allah ameteremsha hadithi nzuri kabisa, ."

14 11

Allah ameteremsha hadithi nzuri kabisa, Kitabu chenye kufanana na kukaririwa; husisimua ngozi za wenye kumkhofu Mola wao Mlezi. Kisha ngozi zao na nyoyo zao hulainika kwa kumkumbuka Allah. Huo ndio mwongozo wa Allah, na kwa huo humwongoa amtakaye. Na ambaye ameachwa na Allah kupotea, basi hapana wa kumwongoa                 

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki