Nyoyo hujengwa kwa maneno, na huvunjwa kwa maneno pia.

Nyoyo hujengwa kwa maneno, na huvunjwa kwa maneno pia.

Nyoyo hujengwa kwa maneno, na huvunjwa kwa maneno pia.

45 37

Nyoyo hujengwa kwa maneno, na huvunjwa kwa maneno pia. Basi, usiwadharau watu, wala kuwa fedhuli wa maneno, wala usiwaite watu kwa sifa wasio zipenda. Heshima ni haki ya kila mtu.MAZINGATIO: Tabia njema na kusema maneno mazuri ni nuru ya Qur’an

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki