Hakika walio amini na wakatenda mema Arrahmani Mwingi wa Rehema atawajaalia mapenzi
Tazama kadi
Uongofu unaanza wakati moyo unapo fuata haki kwa dhati, na bila kujali kipindi cha ukamiifu wa ufahamu.
Wakati changamoto zinapo kuzonga,hauhitaji kutaabika, bali unahitaji kupata nuru inayo kuangazia na kukuongoza katika kutatua changamoto hizo. MAZINGATIO: Qur’an inaongoa katika njia ya haki
Unapo mchagua Allah kiukweli ina maanisha unakuwa umejipa uhuru wa kutokuwa mtumwa kwa yoyote. MAZINGATIO: Ni wajibu kuwa na tawhidi
Uongofu unaweza kukufikia kwa ghafla, na ukabadilisha kila kitu baada ya hapo. MAZINGATIO: Qur’an ni nuru ya imani
Heshima kubwa ya Mwanaadam ni yeye kuwa mwenye kupendeza mbele ya Allah, kabla ya kupendwa na yeye. MAZINGATIO: Allah huwapenda waumini, nao wanampenda
Qur’an haikutelekezi katikati ya njia, bali ina ambatana nawe mpaka mwisho na kukupa utulivu wa kweli. MAZINGATIO: Utulivu wa kweli upo ndani ya Qur’an