​Na mwenye kuuelekeza uso wake kwa Allah, "

​Na mwenye kuuelekeza uso wake kwa Allah, "

​Na mwenye kuuelekeza uso wake kwa Allah, "

16 10

Na mwenye kuuelekeza uso wake kwa Allah, naye akawa anafanya wema, basi huyo hakika amekwisha kamata fundo lilio madhubuti. Na mwisho wa mambo yote ni kwa Allah

Na anaye kufuru, isikuhuzunishe kufuru yake. Kwetu ndio marudio yao, na hapo tutawaambia waliyo-yatenda. Hakika Allah ni Mjuzi wa yaliyomo vifuani

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki