Mwenye kumnyenyekea Allah huwa huru kutokana na udhalili."

Mwenye kumnyenyekea Allah huwa huru kutokana na udhalili."

Mwenye kumnyenyekea Allah huwa huru kutokana na udhalili."

12 7

Mwenye kumnyenyekea Allah huwa huru kutokana na udhalili wa kuwahofu viumbe.

Kumtii Allah si unyonge, bali ndiyo njia pekee ya kupata mafanikio makubwa.

MAZINGATIO:

Uhuru wa moyo ndiyo wenye mafanikio makubwa.

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki