Qur’an haiwaiti watu kugombana, bali inawaita watu kujadiliana kwa kutumia hekima.
“Na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora”.
Hili ni daraja liliojengwa kutokana na maneno mazuri yenye kutengeneza mambo yaliyo haribiwa kutokana na ugumu wa nyoyo.
MAZINGATIO:
Majadiliano yenye kuleta ufanisi huongozwa na hekima
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi