Qur’an haiwaiti watu kugombana, bali inawaita watu kujadiliana kwa kutumia ."

Qur’an haiwaiti watu kugombana, bali inawaita watu kujadiliana kwa kutumia ."

Qur’an haiwaiti watu kugombana, bali inawaita watu kujadiliana kwa kutumia ."

13 6

Qur’an haiwaiti watu kugombana, bali inawaita watu kujadiliana kwa kutumia hekima.

“Na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora”.

Hili ni daraja liliojengwa kutokana na maneno mazuri yenye kutengeneza mambo yaliyo haribiwa kutokana na ugumu wa nyoyo.

MAZINGATIO:

Majadiliano yenye kuleta ufanisi huongozwa na hekima

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki