Uhuru wa kweli ni kujitenga na utumwa wa dunia kwa kuelekea."

Uhuru wa kweli ni kujitenga na utumwa wa dunia kwa kuelekea."

Uhuru wa kweli ni kujitenga na utumwa wa dunia kwa kuelekea."

12 7

Uhuru wa kweli ni kujitenga na utumwa wa dunia kwa kuelekea kwenye rehema za Allah.

Amesema Allah Mtukufu: “Basi kimbilieni kwa Allah”.

Basi, hakuna sehemu ya kuukimbilia uhuru isipokuwa kwake tu.

MAZINGATIO:

Kimbilia kwa Allah ili upate uhuru wa nafsi

Kadi zenye uhusiano

Tazama kadi

icon

Shiriki