Kuna siku itakayo tokea ndani yake mambo ambayo mtu hajawahi
kufikiria kuwa yatatokea, kipindi cha watu watakapo fufuliwa kutoka makaburini mwao na kuanza kuuliza: “Nani aliye tufufua?
Kukumbuka nguvu za Allah na uwezo wake katika siku ambayo majuto hayatomfaa mtu, hili ni jambo muhimu sana.
MAZINGATIO:
Ni muhimu kuamini siku ya kiama na kufufuliwa
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi