Kufuata matamanio ya nafsi ni chanzo cha kukuweka mbali na njia sahihi, basi usiyaendekeze matamanio yako yakuongoze kwenye upotofu.
Kumbuka kuwa Akhera kuna hesabu na adhabu, kuwa Mwangalifu!
MAZINGATIO:
Ni muhimu kuwa na tafakuri ya kina kuhusu hatma ya kufuata matamanio
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi