Katika kila habari miongoni mwa habari za mitume tunapata mambo yanayo thibitisha imani zetu na uongofu wa nyoyo.
Qur’an ni ukumbusho na nuru kwa waumini wa kila zama.
MAZINGATIO:
Haki ya wazi inapatikana ndani ya masomo ya Qur’an.
Kadi zenye uhusiano
Tazama kadi